Kumbuka, uasi ulikuwa dhambi ya kwanza kuwahi kuandikwa katika Biblia! Uasi ulimchukua malaika wa nuru na kumbadilisha kuwa shetani. Hiyo ndiyo nguvu ya uasi! Ni hatari, ni yenye hila na itakuharibu ikiwa utairuhusu kuota mizizi ndani yako.
Katika kitabu hiki, utagundua jinsi ya kutambua aina mbili za uasi zilizofichika na zilizo wazi ambazo zinaweza kuingilia maisha yako au huduma yako. Usichukulie kijuu juu! Viondoe miongoni mwenu!